Shirikisho la mpira nchini Kenya (FKF) imeipa ubingwa timu ya Gor Mahia FC kuwa mabingwa kwa mwaka 2019/2020 katika Kenya Premier League baada ya ligi kushindwa kumalizika kutokana na kuibuka kwa Virusi vya Covid 19.
Mechi Tano zimebaki kabla ya msimu kumalizika.
Vipengele vya sheria ya shirikisho la soka nchini Kenya ndivyo zinavosema.
1 Comments
🤗 blessed
ReplyDelete