Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mama na Baba Lishe wanaoshiriki Kongamano la Kitaifa la Mama na Baba Lishe, katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Aprili, 2026





0 Comments