Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akiweka shada la maua kwenye kaburi la Hayati Dk.John Pombe Magufuli mara baada ya mazishi yaliyofanyika nyumbani kwake Chato mkoani Geita 26/03/2021.
Mama Janeth Magufuli mjane wa hayati Dk.John Pombe Magufuli akikabidhiwa Shada la maua ili kuweka kwenye kaburi la mumewe katika mazishi yaliyofanyika kwenye eneo la familia nyumbani kwake Chato 26/03/2021. Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Hayati Dk.John Pombe Magufuli mara baada ya mazishi yaliyofanyika nyumbani kwake Chato 26/03/2021.
Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Bashiru Ali Kakurwa akiweka shada la maua katika kaburi la Hayati Dk.John Pombe Magufuli mara baada ya mazishi yaliyofanyika nyumbani kwake Chato mkoani Geita 26/03/2021.
Watoto wa Hayati Dk.John Pombe Magufuli wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao katika mazishi yaliyofayika kwenye makaburi ya familia Chato mkoani Geita
0 Comments