MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA KUMUOMBEA ASKOFU MUNGA

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisaini kitabu cha maombolezo wakati alipowasili nyumbani kwa aliyekuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Marehemu Dkt. Stephen Munga, kushiriki Ibada Maalum ya kumuombea Askofu huyo, Maramba mkoani Tanga.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Ibada Maalum ya kumuombea aliyekuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Marehemu Dkt. Stephen Munga, iliyofanyika, Maramba Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wakiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Askofu Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Marehemu Dkt. Stephen Munga wakati wa Ibada maalum ya kumuombea Askofu huyo, iliyofanyika, Maramba Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga.

Post a Comment

0 Comments