Katibu wa Wabunge mkoa wa Tanga Mh.Husna Sekiboko pamoja na Naibu Waziri wa Michezo Mh.Hamis Mwinjuma walikuepo kwenye sherehe za kumuaga Katibu Mkuu aliyestaafu wa CCM Seleman Charas.
Mh.Husna Sekiboko alisindikizwa na Wabunge wenzake Rehema kutoka mkoa wa Tabora na Mbunge anayewakilisha vyuo vikuu na Mbunge kutoka Zanzibar
Katibu Mstaafu akiwashukuru Kamati ya Bunge na Naibu Waziri wa MichezoWabunge mkoa wa Tanga wote kwa pamoja walitoa zawadi ya shilingi milioni Tano
0 Comments