Rais Samia arejea baada ya ziara ya kikazi UAE

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amerejea nchini baada ya kushiriki katika Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja na Uzinduzi wa Jukwaa la Kimataifa la Uwekezaji Afrika (Global Africa Investment Summit – GAIS), uliofanyika katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Mhe. Rais Dkt. Samia alwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akitokea Dubai, tarehe 6 Februari, 2026, na alipokelewa na viongozi mbalimbali wa Serikali.

Post a Comment

0 Comments